Categories
Dondoo za afya

Ganzi kwenye mikono ya miguu

ganzi
ganzi ya miguu

Maelezo ya utanguzi

Mwili umeenea vibeba taarifa ambavyo ni seli huitwa neva. Seli hizi za neva husafirisha taarifa kutoka eneo la mwili kwenda kwenye ubongo ili taarifa husika kutafsiriwa. Mfano unatembea kisha ghafla ukakanyaga kaa la moto, taarifa hizo husafirishwa haraka kwenda kwenye ubongo kupitia neva na kisha ubongo kutuma mrejesho kwamba ulichokanyaga ni moto.
Sasa inapotokea neva hizi za viungo vya pembezoni mwa mwili yani kwenye mikono na miguu kutofanya kazi ndipo mtu huanza kupata ganzi na wakati mwingine maumivu. Hapo unaweza kushika kitu na usijue kama umeshika kitu ama ukahisi maumivu wakati hakuna kitu kinachokuumiza

Nini Maana ya Peripherial Neuropathy?

Peripheral neophathy ni ugonjwa unaotokea pale neva za kwenye maeneo ya pembezoni mwa mwili hasa miguu na mikono kushindwa kufanya kazi kutokana na kupata majeraha. Kujeruhiwa kwa neva kunasababisha mwili kutumwa kwa taarifa ya maumivu wakati hakuna maumivu, au kutotuma taaria ya maumivu wakati kuna kitu kinachokuumiza. Neva hizi zinaweza kujeruhiwa kutokanana na

  • Ajali
  • Kuumwa magonjwa
  • Kupata maambukizi
  • Au kurithi

Dalili za Tatizo la Ganzi kwenye Miguu na Mikono.

  • Kutetemeka kwa mikono na miguu
  • Kupata hisia kama umevaa kitu cha kubana kwenye mikono au miguu
  • Kuangusha vitu mara kwa mara kutoka kwenye mikono
  • Ngozi kuwa nyembamba
  • Kushuka kwa shinikizo la damu
  • Kupungua uweo wa tendo la ndoa hasa kwa wanaume
  • Tumbo kujaa gesi na kukosa choo
  • Kuharisha na
  • Kutokwa na jasho jingi

Nini Kinachosababisha Ganzi kwenye Miguu na Mikono?

Watu ambao familia zao zina historia ya kuugua tatizo hili wapo kwenye hatari kubwa ya wao kuugua pia tatizo kutokana na kurithi vinasaba. Sababu zingine ni kama

Magonjwa

Kisukari ni ugonjwa unaoongoza kwa kuathiri neva za fahamu na kisha kupelekea mwili kuwa na ganzi kwenye mikono au miguu. Kisukari husababisha kujeruhiwa kwa neva kutokana na kiwango kikubwa cha sukari kwenye damu kutodhibitiwa. Magonjwa mengine yanayoweza kujeruhi neva za fahamu na hivo kupelekea ganzi miguuni na mikononi ni pamoja na
Magonjwa ya figo ambapo figo zisipofanya kazi vizuri hupelekea kiwango kikubwa cha sumu kujikusanya mwilini na kuathiri neva
Kupungua uwezo wa tezi ya thyroid (hypothyroidsm) kunakopeleka mwili kuhifadhi maji kwenye eneo linalozunguka neva
Upungufu wa vitamin E, B-1, B-6 and B-12 ambazo ni vitamini muhimu katika kuimarisha afya ya neva.

Ajali

Ajali ni moja ya sababu kubwa inayopelekea kuathirika kwa neva. Ajali hizi ni pamoja na ajali za magari, kuanguka au kuvunjika kwa viungo.

Pombe na Sumu

Pombe hupelekea kuchelewa kwa taarifa zinazosafirishwa na kuleta athari kwenye neva. Watumiaji wa pombe waliokithiri wapo kwenye hatari zaidi ya kuugua ganzi kwenye miguu na mikono.
Watu wanaofanya kazi kwenye maeneo ya sumu na kemikali mfano sumu za kuulia wadudu,wanaweza kuugua tatizo hili la kupata ganzi ya mikono na miguu.

Maambukizi na Magonjwa ya Kinga

Baadhi ya bateria na virusi wanaweza kushambulia neva. Wagonjwa wa Ukimwi pamoja na wagonjwa wa tetekuwanga na mkanda wa jeshi wapo kwenye hatari ya kuugua tatizo hili la ganzi,

Matumizi ya Dawa kwa muda mrefu

Matumizi ya baadhi ya dawa yanaweza kusababisha kuathirika kwa neva. Hii ni pamoja na

  • Dawa za kutibu kifafa
  • Antibiotics
  • Baadhi ya dawa kwa ajili ya presha na
  • Dawa kwa ajili ya saratani

Nini cha kufanya kwa Mgonjwa wa ganzi

Moja ni kurekebisha tabia na mazingira yanayosababisha kama kisukari, ulevi na mazingira yenye kemikali

Mazingira, tabia na Makundi yaliyopo kwenye Hatari zaidi kuugua Ganzi

  • Kisukari
  • Matumizi ya pombe kwa muda mrefu
  • Kupungukiwa na Vitamin hasa Vitamin B
  • Wagonjwa Ukimwi, mkanda wa jeshi na tetekuwanga
  • Magonjwa ya kinga kushambulia tishu (autoimmune diseases)
  • Kuwa na magonjwa ya figo, ini na tezi ya thyroid
  • Familia zenye historia ya kuugua ganzi.

Zingatia maisha ya kiafya kama; kula lishe yenye matunda, mboga ili kuimarisha afya ya neva. Tumia vyakula veynye vitamin B-12 kwa wingi kama nyama, samaki, mayai

Fanya mazoezi ya viungo mara kwa mara. Weka ratiba ya kufanya mazoezi mara 4 kwa week nusu saa kwa siku.

Epuka mazingira yanayoweza kujeruhi neva kama . Kufanya kazi kwenye mazingira yenye kemikali kwa muda mrefu, kuvuta sigara na matumizi ya pombe kupita kiasi.

Tiba asili Kupitia Mafuta ya Eucalyptus

Mafuta ya eucalyptus yamekuwa yakitumika kwa zaidi ya miaka 5000 kutibu changamoto mbalimbali hasa na misuli na maungio. Huhitaji tena kuagiza nje ya nchi, tumefanya utafiti na kukuletea mafuta haya asili, yasiyochakachuliwa na salama zaidi.

Kutibu maumivu ya misuli na joints chovya kiasi kidogo cha mafuta yetu haya ya eucalyptus kisha pakaa taratibu kwenye ngozi na ufanye masaji kwa dakika 5 mpaka 10, fanya hivo mara mbili kwa siku.

Gharama za mafuta ni Tsh 40,000/= Ofisi tupo Mwembechai Magomeni, Tuandikie whatsapp kwa namba 0678626254 kuanza tiba

Share and Enjoy !

Shares
Categories
Dondoo za afya Tendo la ndoa

Jinsi ya Kukipata na Kusugua Kipele G au G spot

g spot
kipele G

Ni wazi kwamba kumfikisha kileleni mwanamke ni ndoto ya kila mwanaume pale anapofanya mapenzi. Kwa bahati mbaya wengi hawafahamu ni jinsi gani amkune mwanamke ili kumfikisha kilaleni, jambo ambalo hupelekea kuvunjika kwa mahusiano ama mwamanamke kutoka nje ya ndoa.

Kufika kileleni kwa mwanamke kunamsaidia kupunguza mawazo, kuimarisha afya ya ngozi na kumfanya awe na furaha. Wanawake wengi karibu asilimia 75 wanahitaji kuchezewa kisimi ndipo kufika kileleni, kwa maana hiyo ni wanawake wachache asilimia 15 tu ambao hufika kileleni kwa kumsugua ukeni kupitia uume. Kumbe kazi ya ziada inahitajika ili kumfikisha mwanamke kileleni na ndio somo letu la leo, endelea kusoma.. Tutazungumzia eneo moja lililojificha ambalo likisisimuliwa vizuri mwanamke atafika haraka kileleni. Eneo hili huitwa G spot au kipele G. Kabla ya kusoma kwa undani makala yetu, fahamu kwamba siyo kila mwanamke anaweza kupata msisimko na kufika kileleni kupitia kipele G, lakini wengie wao.

Nini Maana ya G spot au kipele G?

Pengine umewahi kusikia watu wakiongelea kuhusu kipele G katika kumfikisha mwanamke kilaleni, lakini bado hujui ni nini hasa? G spot kwa kirefu Grafenberg spot au kipele G ni eneo ndani ya uke, lililogunduliwa na Dr. Beverrly kwamba linaweza kuzalisha hisia kali endapo litakunwa kwa kutumia kidole cha shahada kwa mtindo wa kumwita mtu.

Muhimu kufahamu kuhusu G spot

Jambo la kufahamu ni kwamba kipele G siyo kiuongo ambacho kinajitegemea, bali ni mwendelezo wa kisimi kwa upande wa ndani. Kisimi ni kama mlima barafu juu ya maji(iceberg), unauona umeelea kwenye maji lakini una mizizi pia chini ya maji. Kisimi pia kimegawanyika katika kuna eneo la nje na eneo liliojificha la ndani ambako ndipo kuna G spot. Endapo kipele hiki kikikunwa vizuri basi humfanya mwanamke kumwaga hraka na akafika kileleni.

Jinsi ya Kukipata Kipele G (G spot)

Kupata kipele G inaweza kuwa changamoto kidogo kutokana na kutofautiana kwa maumbile ya wanawake. Kwanza hakikisha umerelax wakati unamwandaa mwanamke kufanya tendo la ndoa.

Jinsi ya kukuna kipele G

Kwa kutumia kidole chako cha shahada, ingiza taratibu kwenye uke wakati mwanamke amelala chali, chezesha kidole chako kwa kukuna eneo la juu la uke kama picha inavoonesha hapo juu. fanya hivo taratibu wakati huo unafatilia mabadiliko ya kihisia ya mwanamke. Badala ya kuingiza kidole na kutoa nje fanya kwa mtindo huo hapo juu.

Kumbuka kila mwanamke anpenda kushikwa mahali fulani ambapo anasisimuka zaidi, kwahivo ni vyema pia kuongea na mpenzi wako akweleze ni wapi panapomsisimua zaidi kwenye mwili. Chukua muda kumfahamu zaidi mpenzi wako ni kipi anataka kufanyiwa pale mnapokuwa kitandani ili wote mfurahie mapenzi.

Staili nzuri ya Kumuweka Mwanamke ili Kusisimua Kipele G.

Kama unapenda kusisimua G spot na kumfikisha mwanamke kileleni basi mikao hii iatsaidia kukipata na kukisisimua haraka kipele G

  • Closed missionary position au kifo cha mende:Mtindo huu unahitaji mwanamke kulala chali na kisha mwanamume unamwingia katikati ya miguu yake akiwa ameikunja kidogo, kisha taratibu unaingiza kidole cha shahada ukeni na kuanza kukuna.
  • Doggy style au kichuma mboga: Style hii inahitaji mwanamke kujikunja magoti na mwanaume kuja kwa nyuma ya makalio. Mkao huu unafanya uume kuingia kiurahisi na wote kwenye uke, kupitia style hii unaweza kusisimua kipele G kwa kuingiza uume kwa spidi inayokufaa, wakati huo unabadilisha engo ya mkao.
  • Cowgirl au kibodaboda: Style hii inakufanya uguse kipele G kwa urahisi wakati huo mnashiriki tendo la ndoa. Mwanaume analala chali na mwanamke anamkalia kwa juu na kuanza kuingiza uke kama vile ananyonga baiskeli.

Angalizo: mwanamke anatakiwa akwenda pole pole ili kuepusha majeraha kwenye uume endapo ataukali vibaya. Badala ya mwanamke kwenda juu na chini, ajaribu kupump kwa kwenda mbele na kurudi nyuma.

Tafuta staili Utakayoifurahia zaidi

Usiige unachoona kwenye video za ngono, vingi siyo uhalisia na vinaweza kukuathiri kisaikologia pale utakaposhindwa kuvitimiza. Badala yake shirikiana na mwenza wako mkubaliane mkao ambao hauumizi na utakaowapa raha ya tendo wote wawili. Jambo la muhimu ni kuridhika na kumridhisha mwanamke. Usiogpe pia kujaribu staili mpya ama kutumia zaidi ya staili moja kwa wakati mmoja wa tendo.

Soma makala inayofuata: Kwanini uume hulegea na kushindwa kuhimili tendo la ndoa

Share and Enjoy !

Shares
Categories
Dondoo za afya Tendo la ndoa

Nini kinasababisha Mwanamke Kushindwa kufika Kileleni

Orgasmic dysfunction/mwanamke kushindwa kufika kileleni ni hali ya kutifikia raha ya tendo la ndoa. Hali hii inaweza kutokea hata kama mwanamke ameandaliwa vizuri na hisia zake zimeamshwa kufanya mapenzi. Hali hii ya kutofika kileleni inaweza kutokea kwa watu wote mwanamke na wanamume, japo inawapata zaidi wanawake.

Mwanamke Kufika kileleni kupoje

Inawezekana kabisa hujui kufika kileleni ikoje, au pengine hujawahi kufika kileleni hata mara moja katika maisha yako. Usishtue sana, kwasbabu kuna wanawake wana umri wa miaka 40 na hawajawahi kufurahia utamu wa kufika kileleni. Kufika kileleni (orgasm) ni kiwango cha juu cha hisia ambazo mtu anapata pale anapofanya tendo la ndoa. Mguso wa hisia wakati wa kufanya mapenzi hufanya mwili kutoa kemikali ambazo zinakufanya ujiskie raha ya hali ya huu zaidi pale unapokuwa kitandani na mwenzi wako.

Wanawake wengi sana hawajawahi kufika kileleni na kuonja raha ya kufanya tendo la ndoa, japo wengine wamepata na watoto, lakini bado hawajawahi kuona raha ya kufikia mshindo. Nimekuwa nikipokea kesi nyingi za wakina mama kwa tatizo la kutofika kileleni na ndio maana nimeleta makala hii iwe msaada kwako. Endelea kusoma

Nini Kinasababisha Mwanamke Kushindwa kufika Kileleni

Hili ni swali ambalo wengi hujiuliza kwanini jirani yako anafurahia mapenzi lakini kwako tendo la ndoa ni karaha, na pengine unafanya kwa kumridhisha tu mwenzi wako. Ili kujua chanzo cha tatizo lako inatakiwa ufatiliaji wa karibu. Sababu mbalimbali za kimwili, kuhisia au kisaikologia zinaweza kufanya mwanamke kushindwa kufika kileleni. Sababu hizi hatarishi ni kama

  • Umri mkubwa
  • Magonjwa kama kisukari
  • Mgonjwa kuwa na historia ya kufanyiwa upasuaji wa kuondoa kizazi
  • Matumizi ya vidonge kwa ajili ya sonona
  • Imani za kidini au kikabila
  • Woga wakati wa kufanya mapenzi
  • Kuhisi kama mwenye makosa kwenye kufanya mapenzi
  • Historia ya kunyanyaswa kingono mfano kubakwa
  • Msongo wa mawazo
  • Kushindwa kutambua thamani yako mfano kuhisi kama huna thamani mbele ya mwenzi wako na jamii kwa ujumla
  • Matatizo kwenye mahusiano na
  • Kuvurugika kwa homoni

Chukua muda utafakari na kujichunguza kwa upande wako nini chanzo kati ya hivi nilivoeleza. Wakati mwingine siyo lazima iwe ni sababu moja tu inayopelekea ushindwe kufika kileleni wakati wa tendo la ndoa. Yaweza kuwa ni muunganiko wa sababu zaidi ya mbili.

Mwanamke Kushindwa kufika kileleni kunagawanyika katika makundi ma4

  • Primary anorgasmia: Hali ya kutowahi kabisa kufika kileleni hata mara moja
  • Secondary anorgasmia: Kushindwa kufika kileleni japo siku za nyuma uliwahi kufurahia
  • Situational anorgasmia: Hali ya kufika kilelni kwenye matukio flani flani tu, mfano ukifanya ngono kupitia mdomo(oral sex) ama ukipiga punyeto.
  • General anorgasmia: Ni hali ya kutofika kileleni kwenye mwzingira ypyote yale, hata kama utaandaliwa vizuri na kupata msisimuko wa kihisia.

Matibabu kwa Mwanamke Kushindwa Kufika Kileleni

Matibabu ya tatizo hili yanatofautiana kwa kulingana na chanzo chake. Tiba hizi zinaweza kujumuisha

Ushauri kwa wapenzi ni tiba kubwa sana. Mshauri wa mambo ya mahusioano atawasaidia wanandoa kusuluhisha migogoro yao kama ipo. Kwa kesi zingine itahitajika mwanamke kuanza kutumia vidonge ili kurekebisha homoni zake. Baadhi ya virutubisho asili kama soy power na cordyceps vinaweza kutumika ili kumsaidia mwanamke afikie kilele na akafurahia tendo la ndoa.

Watu wanalichukuliaje tatizo hili la Mwanamke kushindwa kufika Kileleni

Mwanamke kushindwa kufika kileleni inaweza kuwa ni tatizo la kuleta mawazo na hata kutishia kuvunjika kwa mahusiano. Wanaume wengi huwalaumu wake zao kwamba wana michepuko ndio maana hawatosheki, jambo ambalo siyo kweli.

Kama wewe ni mwanamke ambaye unapitia tatizo hili tambua kwamba haupo peke ako. Kila siku wanawake zaidi ya 20 hunitafuta kuhitaji tiba ya changamoto hii. Na pia fahamu kwamba inawezekana kutibu tatizo hili na ukafurahia tendo la ndoa. Usiendelee kuficha tatizo na kuigiza kwamba halipo huku unateseka kisaikolojia. Cha muhimu ni kufahamu tu chanzo cha tatizo lako. Unaweza kufika hospitali ukaonana na daktari wako akakupa mwongozo jinsi ya kupata tiba. Ama unaweza kuwasiliana nasi moja kwa moja.

Tuandikie kwa whatsapp no – 0678626254 ili upate tiba asili kwa sh 150,000/= uanze kufurahia utamu wa kufika kileleni.

Bofya makala inayofuata: Kwanini unakuwa mkavu sana ukeni+tiba

Share and Enjoy !

Shares
Categories
Afya ya mwanamke na uzazi salama Tendo la ndoa

Je ni Salama Kufanya Mapenzi kipindi cha Hedhi?

period

Kikawaida kipindi cha hedhi kinatokea mara moja ndani ya mwezi. Kama huna changamoto ingine ya kiafya, basi hakuna haja ya kuogopa kufanya mapenzi kwenye kipindi hiki. Japo panaweza kuwa na uchafu kutokana na damu inayotoka, lakini kiafya hakuna madhara na badala yake kuna faida kwa mwanamke. Soma zaidi kufahamu faida za kufanya tendo la ndoa kwa mwanamke wakati wa hedhi.

Faida za Kufanya Tendo la Ndoa Kipindi cha Hedhi

  1. Kupungua kwa maumimu ya misuli ya tumbo na nyonga : Mwanamke anapofika kileleni kwa kutoshelezwa kimapenzi husaidia kupunguza maumivu kwenye nyonga na misuli. Kufika kileleni kunasaidia misuli kusinyaa na hivo kuondoa maumivu. Tendo la ndoa pia husaidia kutoa kichocheo na endorphims ambacho kinakufanya ujiskie vizuri.
  2. Kupunguza siku za hedhi Kufanya mapenzi kipindi cha hedhi kunaweza kusaidia kupunguza siku za kutokwa hedhi. Hii inawafaa zaidi wanaopata hedhi zaidi ya siku 4. Kutanuka kwa misuli ya kizazi kunasaidia kusukuma damu kwa wingi na haraka na hivo kufupisha siku za hedhi.
  3. Kuongezeka kwa hamu ya tendo Baadhi ya wanawake wanaokosa hamu ya tendo la ndoa wanaweza kutumia kipindi cha hedhi kufaidi tendo hili. Hii ni kutokana na kuongezeka kwa hamu ya kufanya mapenzi kwenye kipindi cha hedhi kutokana na mabadiliko ya homoni.
  4. Damu ya hedhi kama kilainishi Kipindi cha hedhi damu inayotoka inaweza kutumika kama kilainishi ili kupunguza maumivu.
  5. Kupunguza maumivu ya kichwa:Karibu nusu ya wanawake hupata maumivu ya kichwa kipindi cha hedhi. Kushiriki tendo kutakusaidia kupunguza maumivu haya.

Je kuna Madhara yoyote Kufanya Mapenzi Kipindi cha Hedhi?

Kufanya mapenzi kipindi cha hedhi kunaweza kuleta madhara ya kawaida ya kimazingira, mfano kuchafua mashuka na mwili pia kutapakaa damu. Lakini pia unaweza kuathirika kisaikologia hasa kama wewe ni mwoga wa kuangalia damu. Hatari nyingine ni kupata maambukizi ya magonjwa ya zinaa na homa ya ini. Hii ni kwa sbabau virusi wanaishi kwenye damu. Kama unaamua kufanya mapenzi kipindi cha hedhi basi hakikisha unatumia kondomu.

Je Naweza Kupata Ujauzito Kufanya Mapenzi Kipindi cha Hedhi?

Inawezekana kabisa kushika ujauzito wakati wa hedhi. Kwahivo kama hujapanga kushika mimba kumbuka kutumia kondomu muda wote. Kila mwanamke ana mzunguko tofauti wa hedhi, na pia mpangilio unaweza kubadilika ushike mimba kwenye kipindi ambacho hukupangilia. Wanawake wenye mzunguko mfupi wa siku 22 wapo kwenye hatari zaidi ya kushika mimba kipindi cha hedhi. Kumbuka mbegu za mwanaume zinaweza kuishi ndani ya kizazi kwa siku 5 mpaka 7, kwaivo kama una mzunguko wa siku 22 na yai kutolewa baada ya hedhi, kuna uwezekano mimba ikatungwa.

Dondoo zingine Muhimu Unapofanya Mapenzi Kipindi cha Hedhi.

  • Ongea na mpenzi wako jinsi unavojiskia unapofanya mapenzi kipindi hiki cha hedhi. Kuwa muwazi na mweleze kama hujiskii vizuri.
  • Tumia taulo nyeusi au kitambaa cha pamba cheusi kutandika kwenye godoro ili kufyonza damu.
  • Andaa kitambaa chenya maji au wipes pembeni ya kitanda ili kujisafisha baada ya kumaliza tendo
  • Ongea na mpenzi wako kuvaa kondomu kabla ya tendo kupunguza hatari ya kupata maambukizi.
  • Jaribu staili tofauti kufanya mapenzi ili kupata inayokufaa ambayo haisababishi maumivu.

Bofya makala inayofuata:Je naweza kushika mimba nikisex kwenye hedhi?

Share and Enjoy !

Shares
Shares