Categories
Nguvu za kiume

Je kuna dawa yakurefusha uume?

Je uume wangu una urefu sahihi?

Ni swali ambalo kila mwanaume hujiuliza kwamba urefu wa uume wake ni sawa?. Wengi hujiuliza ili kujiridhisha na kuwa mwenye kujiamini pale anapokutana na mwanamke.

Yafuatayo ni majibu kwa maswali  yote kuhusu uume wako na uwezo wa kufanya tendo la ndoa kikamilifu.

Swali la 1. Ni umri gani mwanaume huanza kusimamisha uume

Jibu :  mwaka mmoja ama chini yake; baadhi watoto wa kiume huzaliwa huku mashine zao zikiwa zimesimama. Vipimo vya ultrasound vimeweza kuthibitisha hilo

Swali la 2.Kama una tatizo la uume kusimama kupita kiasi, nini kinashauriwa?

Jibu: Kusimama kwa uume kwa zaidi ya masaa ma4 huleta maumivu , hivo mazoezi madogo ya kupanda ngazi ama kilima kidogo husaidia kupunguza damu kwenye mishipa ya uume na kuisambaza maeneo mengine ya mwili.

Swali la 3.Size gani ya uume ni sahihi kumridhisha mwanamke?

Jibu: wanaume wengi wanadhami uume mrefu ndio unaoridhisha Zaidi mwanamke, jibu ni kwamba nchi 5 mpaka 6.5 zinatosha kabisa kiafya hivo usipate msongo wa mawazo kama una uume mfupi.

Swali la 4.Je ukubwa wa miguu ndio ukubwa wa uume?

Jibu: hapana. Size ya uume wako hauna uhusiano kabisa na size ya miguu, vidole, pua ama kiungo chochote cha mwili. Japokuwa kama una uzito mkubwa na kitambo sehemu ya uume itafichwa na nyama za tumbo, kwahiyo kama una kitambi nashauri anza sasa kupunguza uzito wako ili kurefusha uume wako bila upasuaji.

Swali la 5. Je ni kawaida uume kusima ukiwa umelala?

Jibu:  ndio ni kawaida kwa mwanume aliye na afya uume kusimama mara 4 mpaka 5 ndani ya usiku mmoja. Mara nyingi akiwa anaota. Kama huna sifa hizi basi jua kwamba unaumwa na unahitaji tiba haraka ili unusuru ndoa yako.

Swali 6.Je upasuaji/operation inaweza kusaidia kuongeza ukubwa wa uume?

Jibu: ni kweli, upasuaji husaidia kuongeza urefu wa uume ila kwa nchi kidogo sana chini nan chi moja. Ni gharama kubwa sana na hatari kwa afya yako. Wengi wao hupata maumivu makali yasioisha baada ya upasuaji.

swali 7. Kupiga punyeto kunaleta raha sawa na kufanya ngono?

Jibu:  Hapana, punyeto hudhhofisha misuli ya uume na kuleta raha ya muda mfupi tu, lakini tendo la ndoa ni tamu na huimarisha kinga ya mwili.

Swali 8. Pumbu kurudi ndani na kunywea husaidia nini?

Jibu: kunywea kwa pumbu ama korodani husaidia kukinga mbegu zisiharibike kutokana na baridi kali.

Swali 9. Kupiga punyeto zaidi mara 5 kwa week ni hatari kwa afya?

Jibu: Ndio kupiga punyeto mara nyingi Zaidi inakuathiri kisaikologia na inapelekea usione thamani wala uhitaji wa  mwanamke kwa tendo la ndoa maana tayari unaweza kujiridhisha mwenyewe.

Swali 10. Je ni salama kwa uume wangu kupinda upande mmoja?

Jibu: Ndio, hakuna tatizo kwa uume kupinda upande mmoja kulia ama kushoto, lakini kama kupinda  huku kunaambatana na maumivu makali basi muone dactari wako harakamaana yaweza kuwa una tatizo la kiafya.

Muhimu kwa Wanaume wenye Upungufu wa nguvu za Kiume

Virutubisho asili vya Zinc na Vig power kutoka Marekani vinafanya kazi vizuri sana katika kuimarisha misuli ya kiume, kuongeza uzalishaji wa mbegu na kusaidia wanaume wanaowahi kufika kileleni, na kushindwa kurudia tendo. Baada ya kutumia dawa zetu tegemea kumudu tendo kwa muda mrefu zaidi ya nusu saa.

tiba ya nguvu za kiume
Dawa za nguvu za kiume

Chati na daktari whatsapp kwa namba 0678626254 kuagiza Vig power na Zinc Kwa Tsh 150,000 tu urudishe heshima ya tendo la ndoa. Dawa hizi ni za asili na kutengenezwa kitalamu kwahivo hazina madhara kwa mtumiaji. Dawa za famasi siyo salama, nashauri usitumie.

Bofya makala inayofuata kuhusu Changamoto ya Shahawa nyepesi

Share and Enjoy !

Shares

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Shares