H.Pylori

Bacteria wa H.Pylori tumboni
H.pylori

Yawezekana umewahi kwenda hospitali ukisumbuliwa na dalili za vidonda vya tumbo na kufanyiwa vipimo kisha daktari anakwambia una bacteria wanaoitwa h.pylori. Kama bado basi usichukulie rahisi maana athari yake ni kubwa sana.

Baadhi ya athari zinazitokana na bacteria hawa huweza kusababisha saratani ya tumbo kama tatizo halitatibiwa vizuri haraka.

Maelezo yafuatayo tumeongelea nini hasa maana ya h.pylori, jinsi wanavoletekeza vidonda vya tumbo na saratani ya tumbo, pamoja na tiba za asili za kuua bacteria hawa.

H.pylori ni nai hasa?

Athari za H.Pylori

H. pylori ni kifupi na helicobacter pylori. Ni aina ya bakteria ambayo huingia kwenye mwili na kujificha ndani ya mfumo wa chakula. Nikisema mfumo wa chakula hapa ieleweke kwamba ni kuanzia mdomoni unapobugia chakula chako mpaka kwenye tundu la haja kubwa ambapo unatoa kinyesi.

Hivo kumbe bakteria hawa wanapatikana hata mdomoni na wanaweza kuambukizwa kwa mdomo pia. Sasa kutokana na bacteria hawa kuwa na uwezo wa kujishikiza kwenye kuta za tumbo bila kuathiriwa na tindikali inayomwagwa tumboni, huweza kusababisha vidonda vya tumbo na saratani pia.

Nafahamu kuwa uliwahi kuambiwa kwamba vidonda vya tumbo huletekezwa na tabia ya kutokula kwa wakati ama kukaa na njaa kwa mda mrefu ni kweli ila endelea kusoma makala hii utajifunza ni kwanini h.pylori.

Nini husababisha H.Pylori kuingia kwenye mfumo wa chakula?

Ukirudi mwanzo nmesema bakteria hawa hupatikana kwenye mfumo wa chakula, kuanzia mdomoni hadi kwenye tundu la haja kubwa. Sasa nini kinapelekea mpaka hawa bacteria kumuingia mtu.

Chanzo cha kupata bacteria huwa ni kupitia mdomo. Bacteria hawa hupatikana kwa kiasi kikubwa kwenye maji, hivo kama maji unayokunywa hayajatibiwa ama kuchemshwa basi hatari ya kupata bacteria hawa ni kubwa zaidi.

Chakula pia unachokula kama kimepata maambukizi ya hawa bacteria basi ukila unameza na hawa bacteria. Chanzo kingine ni kupitia ngono. Najua kuna kundi kubwa la watu wanaopata maambukizi ya bacteria kupitia kufanya mapenzi kwa kunakohusisha midomo ikiwemo kunyonyana ndimi

Hivo hakikisha mpenzi wako yuko salama kabla hujamuamini manake utajiepusha si tu na h.pylori bali pia na ugonjwa wa homa ya ini yaani Hepatatis B.

Vipimo vya namna ya kugundua H.Pylori

Kwa bahati nzuri hospitali zetu nyingi zinatoa huduma ya vipimo kwa gharama nafuu sana. Hivo kama unapata dalili ambazo nitazielezea hapo chini hakikisha unaenda hospitali kupata vipimo ili uwahi tiba mapema.

Dalili hizi ni kama

  • kujiskia tumbo limejaa mda wote hata kama umekula kidogo tu,
  • kutapika na kupata kichefuchefu mara kwa mara,
  • kushuka kwa uzito kwa kasi bila sababu ya msingi,
  • mwili kuwa mzembe na kuchoka sana,
  • maumivu makali ya tumbo, kiungulia, na
  • kupoteza hamu ya chakula.

Kama tayari uliwahi kuugua vidonda vya tumbo hapo nyuma basi daktari ataangalia rekodi yako ya nyuma na kupendekeza matibabu yanayokufaa.

Ni madhara gani utapata endapo hutatibiwa vizuri?

Kama utaugua H.pylori kwa muda mrefu pasipo kupona vya kutosha, kuna hatari ya kuta za kwenye utumbo kutoboka na hivo kuruhusu sumu kuingia kwenye damu. ikitokea hali hii kila chakula utakachokula waweza kutapika na kuharisha, mwili utadhoofu sana na kilo kupungua sana.

Pia kuna hatari ya kupata saratani/kansa ya tumbo na utumbo, endapo tatizo litakusumbua kwa muda mrefu.

Tiba kwa H.Pylori

Kwenye tiba ya kisasa (conventional medicine)

Hatua ya kwanza daktari wako atakupatia dawa ya kwanza ni kwa ajili ya kuua hawa bacteria wa h.pylori. Hatua ya pili ni kutumia dawa kwa ajili ya kupunguza tindikali inayomwagwa kwenye kuta za tumbo.

Baada ya hapo itahitajika kufanya ufatiliaji juu ya mwenendo wa tatizo lako ili kuhakikisha kuwa linaisha kabisa. Japo kwa wagonjwa niliowahudumia ni wale waliotumia tiba ya hospitali bila mafanikio. Tiba ya hospitali inaonekana kuwa na ufanisi mdogo kwa wagonjwa wengi

Tiba asili ya h.pylori (functional medicine)

Bacteria hawa wanapotibiwa mara kwa mara kupitia tiba ya kisasa zinazotolewa hospitali hufikia kipindi wanakuwa sugu yaani hawasikii dawa. Nimekuwa nikipata kesi kama hizi wagonjwa wengi wanasumbuliwa na vidonda vya tumbo sugu ambavyo haviponi, vimechukua miaka mpaka mitano, mpaka wengine hupoteza tumaini.

Basi unaweza kujaribu tiba zetu za asili ambazo huweza kuua bacteria hawa kwa wagonjwa wote tuliowahi kuwahudumia. Njia za asili hulenga katika kuua bacteria wabaya tu na kaacha bacteria wazuri. Kumbuka miili yetu imeumbwa na bacteria wazuri na wanahitajika ili kuweka msawazo.

Muhimu upimwe kwanza

Ni muhimu kufika hospitali kupata vipimo na ufatiliaji wa daktari juu ya tatizo lako. Tumia tiba asili kwa uangalifu na kwa kufata ushauri wa mtaalamu wa tiba asili. Usinunue kila dawa mtaani zinaweza kuongeza tatizo badala ya kutibu.

Wasiliana nasi kwa ushauri wa kiafya, huduma ya virutubisho na elimu ya mpangilio wa lishe ili kutibu matatizo mbalimbali ya kiafya. 

Unaweza kujaribu DIGESTIVE CARE PACKAGE YETU ya siku 30 ambayo itakusaidia kusafisha mfumo wa chakula, na kuua bacteria wabaya. Ni package yenye dawa mbili za asili zilizo katika mfumo wa vidonge. Utazitumia kwa mwezi mmoja kupona ugonjwa wako.

Ushuhuda kutoka kwa Mgonjwa Tuliyempa Tiba Asili

Mgonjwa huyu kutoka Morogoro alisumbuliwa na H.pylori kwa zaidi ya miezi mwaka mmoja. Alishatumia dawa nyingi za hospitali bila mafanikio, na wakati anakaribia kukata tamaa ndipo akakutana na andiko letu mtandaoni. Nilimwanzishia dawa nilimshauri apate dozi mbili. Lakini ndani ya mwezi mmoja akapona kwa dozi moja tu.

Na wewe unaweza kuwa mmoja wa mashuhuda wetu. Tutafute leo uanze tiba na uondokane na mateso ya vidonda vya tumbo kutokana na H.pylori.

Tiba zetu ni hakika na tunakuhakikishia kupona kwa 100%.
Gharama za dawa ni sh 165,000/=
Chati na Daktari kwa Whatsapp kupitia namba: 0678626254 kupata Huduma

Makala inayofuata:Kwanini unapata muwasho mkunduni?

Share and Enjoy !

Shares
Shares