Categories
Dondoo za afya Tendo la ndoa

Jinsi ya Kukipata na Kusugua Kipele G au G spot

g spot
kipele G

Ni wazi kwamba kumfikisha kileleni mwanamke ni ndoto ya kila mwanaume pale anapofanya mapenzi. Kwa bahati mbaya wengi hawafahamu ni jinsi gani amkune mwanamke ili kumfikisha kilaleni, jambo ambalo hupelekea kuvunjika kwa mahusiano ama mwamanamke kutoka nje ya ndoa.

Kufika kileleni kwa mwanamke kunamsaidia kupunguza mawazo, kuimarisha afya ya ngozi na kumfanya awe na furaha. Wanawake wengi karibu asilimia 75 wanahitaji kuchezewa kisimi ndipo kufika kileleni, kwa maana hiyo ni wanawake wachache asilimia 15 tu ambao hufika kileleni kwa kumsugua ukeni kupitia uume. Kumbe kazi ya ziada inahitajika ili kumfikisha mwanamke kileleni na ndio somo letu la leo, endelea kusoma.. Tutazungumzia eneo moja lililojificha ambalo likisisimuliwa vizuri mwanamke atafika haraka kileleni. Eneo hili huitwa G spot au kipele G. Kabla ya kusoma kwa undani makala yetu, fahamu kwamba siyo kila mwanamke anaweza kupata msisimko na kufika kileleni kupitia kipele G, lakini wengie wao.

Nini Maana ya G spot au kipele G?

Pengine umewahi kusikia watu wakiongelea kuhusu kipele G katika kumfikisha mwanamke kilaleni, lakini bado hujui ni nini hasa? G spot kwa kirefu Grafenberg spot au kipele G ni eneo ndani ya uke, lililogunduliwa na Dr. Beverrly kwamba linaweza kuzalisha hisia kali endapo litakunwa kwa kutumia kidole cha shahada kwa mtindo wa kumwita mtu.

Muhimu kufahamu kuhusu G spot

Jambo la kufahamu ni kwamba kipele G siyo kiuongo ambacho kinajitegemea, bali ni mwendelezo wa kisimi kwa upande wa ndani. Kisimi ni kama mlima barafu juu ya maji(iceberg), unauona umeelea kwenye maji lakini una mizizi pia chini ya maji. Kisimi pia kimegawanyika katika kuna eneo la nje na eneo liliojificha la ndani ambako ndipo kuna G spot. Endapo kipele hiki kikikunwa vizuri basi humfanya mwanamke kumwaga hraka na akafika kileleni.

Jinsi ya Kukipata Kipele G (G spot)

Kupata kipele G inaweza kuwa changamoto kidogo kutokana na kutofautiana kwa maumbile ya wanawake. Kwanza hakikisha umerelax wakati unamwandaa mwanamke kufanya tendo la ndoa.

Jinsi ya kukuna kipele G

Kwa kutumia kidole chako cha shahada, ingiza taratibu kwenye uke wakati mwanamke amelala chali, chezesha kidole chako kwa kukuna eneo la juu la uke kama picha inavoonesha hapo juu. fanya hivo taratibu wakati huo unafatilia mabadiliko ya kihisia ya mwanamke. Badala ya kuingiza kidole na kutoa nje fanya kwa mtindo huo hapo juu.

Kumbuka kila mwanamke anpenda kushikwa mahali fulani ambapo anasisimuka zaidi, kwahivo ni vyema pia kuongea na mpenzi wako akweleze ni wapi panapomsisimua zaidi kwenye mwili. Chukua muda kumfahamu zaidi mpenzi wako ni kipi anataka kufanyiwa pale mnapokuwa kitandani ili wote mfurahie mapenzi.

Staili nzuri ya Kumuweka Mwanamke ili Kusisimua Kipele G.

Kama unapenda kusisimua G spot na kumfikisha mwanamke kileleni basi mikao hii iatsaidia kukipata na kukisisimua haraka kipele G

  • Closed missionary position au kifo cha mende:Mtindo huu unahitaji mwanamke kulala chali na kisha mwanamume unamwingia katikati ya miguu yake akiwa ameikunja kidogo, kisha taratibu unaingiza kidole cha shahada ukeni na kuanza kukuna.
  • Doggy style au kichuma mboga: Style hii inahitaji mwanamke kujikunja magoti na mwanaume kuja kwa nyuma ya makalio. Mkao huu unafanya uume kuingia kiurahisi na wote kwenye uke, kupitia style hii unaweza kusisimua kipele G kwa kuingiza uume kwa spidi inayokufaa, wakati huo unabadilisha engo ya mkao.
  • Cowgirl au kibodaboda: Style hii inakufanya uguse kipele G kwa urahisi wakati huo mnashiriki tendo la ndoa. Mwanaume analala chali na mwanamke anamkalia kwa juu na kuanza kuingiza uke kama vile ananyonga baiskeli.

Angalizo: mwanamke anatakiwa akwenda pole pole ili kuepusha majeraha kwenye uume endapo ataukali vibaya. Badala ya mwanamke kwenda juu na chini, ajaribu kupump kwa kwenda mbele na kurudi nyuma.

Tafuta staili Utakayoifurahia zaidi

Usiige unachoona kwenye video za ngono, vingi siyo uhalisia na vinaweza kukuathiri kisaikologia pale utakaposhindwa kuvitimiza. Badala yake shirikiana na mwenza wako mkubaliane mkao ambao hauumizi na utakaowapa raha ya tendo wote wawili. Jambo la muhimu ni kuridhika na kumridhisha mwanamke. Usiogpe pia kujaribu staili mpya ama kutumia zaidi ya staili moja kwa wakati mmoja wa tendo.

Soma makala inayofuata: Kwanini uume hulegea na kushindwa kuhimili tendo la ndoa

Share and Enjoy !

Shares
Categories
Dondoo za afya Tendo la ndoa

Nini kinasababisha Mwanamke Kushindwa kufika Kileleni

Orgasmic dysfunction/mwanamke kushindwa kufika kileleni ni hali ya kutifikia raha ya tendo la ndoa. Hali hii inaweza kutokea hata kama mwanamke ameandaliwa vizuri na hisia zake zimeamshwa kufanya mapenzi. Hali hii ya kutofika kileleni inaweza kutokea kwa watu wote mwanamke na wanamume, japo inawapata zaidi wanawake.

Mwanamke Kufika kileleni kupoje

Inawezekana kabisa hujui kufika kileleni ikoje, au pengine hujawahi kufika kileleni hata mara moja katika maisha yako. Usishtue sana, kwasbabu kuna wanawake wana umri wa miaka 40 na hawajawahi kufurahia utamu wa kufika kileleni. Kufika kileleni (orgasm) ni kiwango cha juu cha hisia ambazo mtu anapata pale anapofanya tendo la ndoa. Mguso wa hisia wakati wa kufanya mapenzi hufanya mwili kutoa kemikali ambazo zinakufanya ujiskie raha ya hali ya huu zaidi pale unapokuwa kitandani na mwenzi wako.

Wanawake wengi sana hawajawahi kufika kileleni na kuonja raha ya kufanya tendo la ndoa, japo wengine wamepata na watoto, lakini bado hawajawahi kuona raha ya kufikia mshindo. Nimekuwa nikipokea kesi nyingi za wakina mama kwa tatizo la kutofika kileleni na ndio maana nimeleta makala hii iwe msaada kwako. Endelea kusoma

Nini Kinasababisha Mwanamke Kushindwa kufika Kileleni

Hili ni swali ambalo wengi hujiuliza kwanini jirani yako anafurahia mapenzi lakini kwako tendo la ndoa ni karaha, na pengine unafanya kwa kumridhisha tu mwenzi wako. Ili kujua chanzo cha tatizo lako inatakiwa ufatiliaji wa karibu. Sababu mbalimbali za kimwili, kuhisia au kisaikologia zinaweza kufanya mwanamke kushindwa kufika kileleni. Sababu hizi hatarishi ni kama

  • Umri mkubwa
  • Magonjwa kama kisukari
  • Mgonjwa kuwa na historia ya kufanyiwa upasuaji wa kuondoa kizazi
  • Matumizi ya vidonge kwa ajili ya sonona
  • Imani za kidini au kikabila
  • Woga wakati wa kufanya mapenzi
  • Kuhisi kama mwenye makosa kwenye kufanya mapenzi
  • Historia ya kunyanyaswa kingono mfano kubakwa
  • Msongo wa mawazo
  • Kushindwa kutambua thamani yako mfano kuhisi kama huna thamani mbele ya mwenzi wako na jamii kwa ujumla
  • Matatizo kwenye mahusiano na
  • Kuvurugika kwa homoni

Chukua muda utafakari na kujichunguza kwa upande wako nini chanzo kati ya hivi nilivoeleza. Wakati mwingine siyo lazima iwe ni sababu moja tu inayopelekea ushindwe kufika kileleni wakati wa tendo la ndoa. Yaweza kuwa ni muunganiko wa sababu zaidi ya mbili.

Mwanamke Kushindwa kufika kileleni kunagawanyika katika makundi ma4

  • Primary anorgasmia: Hali ya kutowahi kabisa kufika kileleni hata mara moja
  • Secondary anorgasmia: Kushindwa kufika kileleni japo siku za nyuma uliwahi kufurahia
  • Situational anorgasmia: Hali ya kufika kilelni kwenye matukio flani flani tu, mfano ukifanya ngono kupitia mdomo(oral sex) ama ukipiga punyeto.
  • General anorgasmia: Ni hali ya kutofika kileleni kwenye mwzingira ypyote yale, hata kama utaandaliwa vizuri na kupata msisimuko wa kihisia.

Matibabu kwa Mwanamke Kushindwa Kufika Kileleni

Matibabu ya tatizo hili yanatofautiana kwa kulingana na chanzo chake. Tiba hizi zinaweza kujumuisha

Ushauri kwa wapenzi ni tiba kubwa sana. Mshauri wa mambo ya mahusioano atawasaidia wanandoa kusuluhisha migogoro yao kama ipo. Kwa kesi zingine itahitajika mwanamke kuanza kutumia vidonge ili kurekebisha homoni zake. Baadhi ya virutubisho asili kama soy power na cordyceps vinaweza kutumika ili kumsaidia mwanamke afikie kilele na akafurahia tendo la ndoa.

Watu wanalichukuliaje tatizo hili la Mwanamke kushindwa kufika Kileleni

Mwanamke kushindwa kufika kileleni inaweza kuwa ni tatizo la kuleta mawazo na hata kutishia kuvunjika kwa mahusiano. Wanaume wengi huwalaumu wake zao kwamba wana michepuko ndio maana hawatosheki, jambo ambalo siyo kweli.

Kama wewe ni mwanamke ambaye unapitia tatizo hili tambua kwamba haupo peke ako. Kila siku wanawake zaidi ya 20 hunitafuta kuhitaji tiba ya changamoto hii. Na pia fahamu kwamba inawezekana kutibu tatizo hili na ukafurahia tendo la ndoa. Usiendelee kuficha tatizo na kuigiza kwamba halipo huku unateseka kisaikolojia. Cha muhimu ni kufahamu tu chanzo cha tatizo lako. Unaweza kufika hospitali ukaonana na daktari wako akakupa mwongozo jinsi ya kupata tiba. Ama unaweza kuwasiliana nasi moja kwa moja.

Tuandikie kwa whatsapp no – 0678626254 ili upate tiba asili kwa sh 150,000/= uanze kufurahia utamu wa kufika kileleni.

Bofya makala inayofuata: Kwanini unakuwa mkavu sana ukeni+tiba

Share and Enjoy !

Shares
Shares